Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Wednesday, February 2, 2011

Kongamano la Azimio la Arusha Jumamosi tarehe 5 Februari 2011

Kongamano la kuadhimisha miaka 44 ya Azimio la Arusha

Siku: 
Jumamosi tarehe 5 Februari 2011

Muda: 
Saa 3:30 Asubuhi mpaka saa 8:00 Mchana

Mahali: 
Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Kauli Mbiu: 
"Tafakuri ya kina juu ya Azimio la Arusha. Je, lina nafasi katika mjadala wa katiba mpya?"

Mtoa mada: Prof. Issa G. Shivji

Waandaaji: 
Sauti ya Vijana Tanzania (SAVITA - UDSM) & Philosophy Club

Mawasiliano: 
0717 34070/0784 641031 (Sabatho Nyamsenda), na 0713 415001 (Hatib Yusuph)

No comments: