Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Monday, April 13, 2015

Hapa ndipo alipozaliwa Mwalimu Nyerere

Hapa ndipo miaka 93 iliyopita alizaliwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kijijini Butiama.
Ni eneo la Mwitongo alipoishi baba yake Mtemi Nyerere Burito wa kabila la Wazanaki wa eneo la Butiama, na mama yake, Mgaya wa Nyang'ombe, aliyekuwa mke wa tano kati ya wake 22 wa Mtemi Nyerere.

Leo eneo hili ni sehemu inayotembelewa na mamia ya wageni kila mwezi kutoka sehemu mbalimbali.