Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Saturday, June 5, 2010

Uchaguzi 2010: Eva Sweet Musiba


Mwandishi wa habari wa magazeti ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Sweet Eva Musiba, ni mmoja wa wagombea ubunge wa viti maalum, Mkoa wa Mara, waliyojitokeza kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Bulleted List
Maelezo yake ni kama ifuatavyo:

Elimu:
  • Stashahada ya Uandishi wa Habari, Dar es Salaam School of Journalism
  • Masomo ya Awali ya Uhasibu, Business Efficiency (B.E.I.)
  • Darasa la VII, Shule ya Msingi Mwembeni, Musoma

Uzoefu:
  • Mwandishi wa habari, Jarida la Mama na Watoto, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mara
  • Mhasibu Mwandamizi, kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki - Fish Filters Tanzania Limited (Beach Department)
  • Mjumbe, bodi ya uandaaji gazeti la TAA la Chama cha Waandishi wa Habari Mwanza (MPC)
  • Mteuliwa miongoni mwa waandishi na wapiga picha katika maziko ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Mwitongo, Butiama) 1999
  • Mwandishi wa vyombo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Msanii Afrika (Mwanza), Radio Free Africa (Mwanza), Mzawa (Mwanza), Hoja (Dar es Salaam), TAA (Mwanza), Jarida la Mazingira (Ubalozi wa Sweden), Mwakilishi wa Radio Uhuru Kanda ya Ziwa (2005-2009), Mwakilishi wa gazeti la Uhuru na Mzalendo (2005-2010)
Ana mtoto mmoja.

No comments: