Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Monday, October 10, 2011

Mbwana Matumla ajiandaa kwa pambano dhidi ya Francis Miyeyusho

Mabondia Mbwana Matumla (kushoto) na Mussa Sunga (kulia) wakipigana wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala Dar es salaam hivi karibuni. Kulia ni kocha Mohamedi Chipota. 
Matumla anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa dhidi ya Francis Miyeyusho litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.(Picha na habari kwa hisani ya www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments: