Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Thursday, November 4, 2010

Uchaguzi Mkuu 2010 katika picha

Shabiki wa Chama cha Wananchi (CUF) wa jijini Mwanza akielekea kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu uliyohitimishwa tarehe 31 Oktoba. Mkutano huo ulihutubiwa na Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea urais wa CUF.

No comments: