Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Saturday, December 4, 2010

Hardmad amerudi tea ulingoni

Baadaya ya kimya kirefu na kujifua kisawasawa, Hardmad amerudi tena kwa kishindo. Na safari hii amekuja na albamu inayokwenda kwa jina Imebaki Story ambayo ina jumla ya nyimbo 11.

zilizorekodiwa katika studio za 41 Records, Tatoo Records, na Maisha Studios za Dar es Salaam, na Click Studio ya Copenhagen, Denmark.

Usanifu umefanywa katika Studio za C4 nchini Denmark. Kwa kipindi cha mwezi mmoja Hardman alikuwa amejichimbia kambini kwa ajili ya mazoezi kwa kushirikiana na Kaka Zao Band atakayokuwa akifanya nayo maonyesho.

Picha na habari kutoka kwa Kwame Mchauru wa Maisha Music.

No comments: