Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Sunday, August 26, 2012

Wageni wa Butiama: Agustino Lyatonga Mrema

Butiama inatembelewa na wageni wengi, baadhi yao mashuhuri, lakini wengi ambao siyo mashuhuri. Wengi wa wageni mashuhuri waliowahi kutembelea Butiama walifika hapo kwa sababu ya kumtembelea Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mmojawapo wa hao wageni ni Mhe. Agustino Mrema ambaye amewahi kufika Butiama mara kadhaa. Katika picha hii anaonekana akisalimiana na Mwalimu Nyerere mwaka 1997 wakati wa msiba wa Bibi Mugaya wa Nyang'ombe, mama mzazi wa Mwalimu Nyerere.

No comments: