Ni nyumba ambayo Mwalimu Nyerere aliishi kwa kipindi kirefu baada ya kustaafu uongozi wa Serikali akiwa kijijini Butiama.
Msanifu wa jengo hili ni mwanamama ambaye jina lake sijaweza kulipata, ambaye aliandaa pia michoro ya hoteli maarufu ya Lobo iliyopo kwenye mbuga za hifadhi za Serengeti.
No comments:
Post a Comment