Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Monday, December 20, 2010

Mchango wa kwanza wa hisani umepatikana kwa Sekondari ya Wasichana ya Chief Edward Wanzagi

Mchango wa kwanza wa thamani ya Sh.500,000/- (laki tano) kuchangia jitihada za The Mwalimu Nyerere/Mt. Kilimanjaro Charity Climb 2010 kusaidia Shule ya Sekondari ya Chief Edward Wanzagi umetolewa na Tanzania Gatsby Trust.

Shukurani za dhati ziende kwa Tanzania Gatsby Trust (TGT), na kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa TGT, Mama Olive Luena.

Unayesoma habari hizi unaombwa kuchangia mojawapo ya walengwa wafuatao wawili wa mwaka huu (au walengwa wote wawili):

Jina la Akaunti:
Chief Edward Wanzagi Girls' Secondary School Fundraising

Benki:
National Bank of Commerce, Tawi la Musoma

Namba ya Akaunti:
030201191529

Pamoja na:

Jina la Akaunti:
Budap

Benki:
National Bank of Commerce, Tawi la Bukoba

Namba ya Akaunti:
027201092625

No comments: