Mabondia Rashidi 'Snake Man' Matumla, na Oswald 'Mtambo wa Gongo' Maneno wametoka sare katika pambano lao la jana lisilo la ibingwa kwa kugawana pointi 99 kwa 99.
![]() |
Rashidi Matumla, kushoto, anakwepa ngumi ya Maneno Oswald katika pambano la jana. |
![]() |
Rashidi Matumla akiamka baada ya kuteleza kwenye pambano la jana. |
Bila shaka tutasikia mpambano mwingine kati ya hawa mabondia wawili.
Picha na baadhi ya taarifa kwa hisani ya www.superdboxingcoach.
No comments:
Post a Comment