Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Monday, December 26, 2011

Matumla na Maneno nguvu sawa

Mabondia Rashidi 'Snake Man' Matumla, na Oswald 'Mtambo wa Gongo' Maneno wametoka sare katika pambano lao la jana lisilo la ibingwa kwa kugawana pointi 99 kwa 99.
Rashidi Matumla, kushoto, anakwepa ngumi ya Maneno Oswald katika pambano la jana.
Rashidi Matumla akiamka baada ya kuteleza kwenye pambano la jana.
Pambano lilifanyika jana katika Ukumbi wa Heineken, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam. Kwa matokeo haya Matumla ameshinda mapambano mawili kati yao na kutoka sare pambano moja, wakati Maneno ameshinda pambano moja na kutoka sare moja.

Bila shaka tutasikia mpambano mwingine kati ya hawa mabondia wawili.

Picha na baadhi ya taarifa kwa hisani ya www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: