Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Saturday, December 24, 2011

Mabondia Rashidi Matumla na Oswald Maneno wapima uzito tayari kwa pambano lao kesho

Mratibu wa pambano za ngumi za kulipwa Shabani Adios "Mwayamwaya', katikati, akishuhudia mabondia Maneno Oswald "Mtambo wa Gongo", kushoto, na Rashidi 'Snake Man' Matumla kulia, wakitunishiana misuli mara baada ya kupima uzito leo kabla ya pambano lao lisilo la ubingwa litakalofanyika Dar es Salaam siku ya Noeli kwenye ukumbi wa Heineken, Mtoni Kijichi.
Picha na habari kwa hisani ya www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: