Katika pambano hilo kali mabondia wote wawili walitupiana makonde ya kujibizana lakini kwa mujibu wa majaji wa mchezo huo, Cheka aliibuka mshindi. Majaji walitoa pointi zifuatazo: John Chagu 100 - 96, Mark Hatia 96 - 97, na Boniface Wambura 99 - 97. Refa wa mchezo alikuwa Nemes Kavishe.
| Karama Nyilawila (kushoto) akiinama kukwepa kombora la Francis Cheka katika pambano la hivi karibuni liliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. (Picha kwa hisani ya superboxingcoach) |

No comments:
Post a Comment