Iwapo dunia ingekuwa ina watu 100, tungepata matokeo yafuatayo:
Jinsia:
50 wanawake
50 wanaume
Watoto/watu wazima:
20 watoto
80 watu wazima
14 kati ya hao watu wazima watakuwa na umri wa miaka 65 na kupita
Mgawanyiko wa kijiografia:
61 watakuwa kutoka Asia
12 toka Bara Ulaya
13 toka Afrika
Dini:
31 Wakristu
21 Waislamu
14 Wahindu
6 wa dini ya Buddha
12 wa dini nyinginezo
16 wasiyo na dini yoyote
Lugha wanazoongea:
17 Lugha mojawapo ya Kichina (kichina kina michepuo kadhaa)
8 Kihindi
8 Kiingereza
7 Kihispania
4 Kiarabu
4 Kirusi
52 Lugha nyingine (pamoja na Kiswahili)
Elimu:
82 watajua kusoma na kuandika; 18 hawatafahamu
Njaa/lishe:
1 atakuwa anakufa kutokana na njaa
17 watakuwa na utapiamlo
15 watakuwa na uzito uliopindukia
Maji:
83 watakuwa na uwezo wa kupata maji safi na salama ya kunywa
17 hawatakuwa na uwezo huo
Mengineyo:
1 atakuwa na shahada ya chuo; 1 atakuwa na kompyuta; 75 watakuwa na uwezo kiasi wa kupata chakula na sehemu ya kuijikinga kutokana na upepo na mvua, wakati 25 hawatakuwa na fursa hiyo.
Taarufa kamili ipo hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment