Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Friday, June 15, 2012

Waziri Bernard Membe naye atabiri hali ngumu kwa Chama cha Mapinduzi

Nimewahi kuandika hapa kuwa majaliwa ya Chama cha Mapinduzi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 hayaonekani kuwa mazuri kutokana na mambo kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. kuongezeka kwa nguvu ya kisiasa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
2. kuendelea kupoteza majimbo ya uchaguzi, ikiwa ni pamoja na jimbo la Arumeru hivi karibuni
3. kuachana na misingi iliyokitambulisha Chama cha Mapinduzi kama mwakilishi wa maslahi ya Watanzania wanyonge, wakulima na wafanyakazi.

Habari kamili ziko hapa:

http://muhunda.blogspot.com/2012/04/chama-cha-mapinduzi-ukingoni.html

Sasa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, naye anatabiri hali mbaya kwa CCM. Habari zake kamili hizi hapa:

http://swahilivilla.blogspot.com/2012/06/aitabiria-ushindi-chadema-uchaguzi-mkuu.html?spref=fb

Ukiona kiongozi mwandamizi wa chama tawala naye anatoa hoja kama hizi ni vugumu kuendelea kusema kuwa ni hoja za watu wasiokitakia mema Chama cha Mapinduzi. Hazibaki kuwa ni ndoto za wapinzani sasa.

No comments: