Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Friday, December 13, 2013

Afrika Kusini waomboleza kifo cha Nelson Mandela

Katika maeneo mbali mbali nchini Afrika Kusini wananchi wamejitokeza kuweka sahihi na kuweka kumbukumbu baada ya kifo cha Mzee Nelson Mandela, aliyefariki tarehe 5 Desemba 2013 baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kwenye picha (juu) wananchi wa Afrika Kusini waliopo Johannesburg wakiandika kwenye bango la kumbukumbu.

Mzee Mandela atazikwa tarehe 15 Desemba 2013.

No comments: