Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Thursday, March 18, 2010

Viongozi wa CCJ watembela Butiama


Viongozi wa Chama cha Jamii (CCJ) wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Mwalimu Nyerere, eneo la Mwitongo katika Kijiji cha Butiama leo asubuhi.

Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho Renatus Muabhi, na kulia ni Mwenyekiti wa CCJ Richard Kiyabo. Kwa mujibu wa maelezo waliyotoa viongozi hao, madhumuni ya kutembelea Butiama yalikuwa kuzuru kaburi la Mwalimu Nyerere, na kusalimia familia ya Mwalimu Nyerere.

CCJ kimeainisha ndani ya katiba yake madhumuni ya kufuata baadhi ya misingi ya sera za Mwalimu Nyerere, Raisi wa kwanza wa Tanzaia, aliyestaafu siasa mwaka 1985 na kufariki mwaka 1999.

No comments: