Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Monday, July 4, 2011

Wageni wa Butiama: Ujumbe wa VETA - Shinyanga wamtembelea Mama Maria Nyerere

Hivi karibu walimu wa VETA Shinyanga walitembelea Butiama na kufika kumsalimia Mama Maria Nyerere. Ujumbe wa watu watatu ulijumuisha Machumu K. Machumu (Mratibu wa Mafunzo), Miharano M. Ismail (Mwalimu wa Udereva), na Edwin Tahani (Mwalimu wa Mitambo).
Kwenye picha, kutoka kushoto, ni Miharano Ismail, Machumu K. Machumu, Mama Maria Nyerere, na aliyesimama ni Edward Tahani ambaye ni baba mzazi wa Edwin Tahani ambaye haonekani kwenye picha. Edward Tahani anafanya kazi Butiama.

No comments: