Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Wednesday, May 9, 2012

Lugha yetu Kiswahili

Kwa Kiswahili sanifu, kofia ya rangi nyekundu anayovaa Mhe. Nimrod Mkono, mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, inaitwa tarabushi. Aidha, huitwa pia tarbushi.
Bango la barabarani lenye picha ya Mhe. Nimrod Mkono akiwa amevaa tarabushi, akiwa pamoja na Rais Jakaya Kikwete, kulia.
Asili ya tarabushi ni eneo la Ugiriki ya kale lakini ni kofia ambayo huvaliwa sana na Waislamu wa eneo la mashariki la Bahari ya Mediterenia. Mpaka mwaka 1925 kofia hii ilikuwa sehemu ya vazi rasmi nchini Uturuki.

No comments: