Mzimu wa kabila la Wazanaki wa Butiama unaojulikana kama Muhunda 'umeonekana' Butiama siku chache zilizopita.
Taarifa kuhusu Muhunda ambazo nilizitoa kwenye makala zilizopita hizi hapa:
Kwa mujibu wa mtoa habari, Muhunda 'alionekana' jioni ya tarehe 11 Aprili 2013 jirani na eneo la msitu wa Muhunda. 'Alionekana' Butiama mara ya mwisho Julai 2011.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment