Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Saturday, March 3, 2012

Matumla amsambaratisha Maneno Oswald

Katika mpambano wa marudiano kati ya Rashidi Matumla na Maneno Oswald uliyofanyika tarehe 25 Februari 2012 katika ukumbi wa PTA Dar es Salaam, Matumla alimshinda Oswald kwa pointi.
Rashidi Matunla (kushoto) akimaliza ubishi kati yake na Maneno Oswald (kulia) katika pambano lao la tarehe 25 Februari 2012. 
Katika pambano hilo la raundi 10 katika uzito wa "Super Middleweight" matokeo ya waamuzi yalikuwa kama ifuatavyo: Anthony Ruta 97 - 93; Pemba Ndava 95 - 95; na Ramadhani Basta 97 - 95.

Kwa matokeo haya Matumla ameshinda mapambano matatu kati yao na kutoka sare pambano moja, wakati Maneno ameshinda pambano moja na kutoka sare moja.

No comments: