ABETO iliundwa mwaka 1966 ikiwa na madhumuni ya kuhimiza jamii katika bara la Afrika kutumia njia za amani kutatua migogoro, kuishi kwa amani, kudumisha uvumilivu, demokrasia, na utawala bora.
![]() |
Mwenyekiti wa ABETO, Moses Musana (kushoto), akisalimiana na Mama Maria Nyerere wakati wa ziara aliyofanya kijijini Butiama hivi karibuni |
Taarifa zinazohusiana na hizi:
http://muhunda.blogspot.com/2012/12/mkutano-wangu-na-jaffar-idi-amin.html
http://muhunda.blogspot.com/2011/07/wageni-wa-butiama-ujumbe-wa-veta.html
http://muhunda.blogspot.com/2010/09/wageni-toka-jkt-wamtembelea-mama-maria.html
No comments:
Post a Comment