Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Tuesday, January 29, 2013

Wageni wa Butiama: Jaji Augustino Ramadhani

Kati ya wageni ambao wametembelea Butiama ni pamoja na aliyekuwa Jaji Mkuu Augustino Ramadhani. Alitembelea Butiama wakati akiwa Jaji Mkuu.
Jaji Augustino Ramadhani akipata maelezo toka kwa muongozaji wageni wa Makumbusho ya Mwalimu J.K. Nyerere ya Butiama wakati wa ziara yake ya Butiama.
Mapema mwaka 2012 Jaji Ramadhani aliteuliwa kuongoza jopo la majaji waliochunguza tukio la Naibu Jaji Mkuu wa Kenya, Nancy Baraza, aliyetuhumiwa kumtishia kwa silaha mlinzi mmoja wa duka moja la jijini Nairobi.

No comments: