Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Wednesday, January 2, 2013

Kunguru wa Mlima Kilimanjaro

Kuna viumbe wachache ambao wanahimili hali ya hewa ya baridi ya kwenye Mlima Kilimanjaro. Mmoja wa hao viumbe ni kunguru, mahususi wale ambao pia wanajulikana kama Kunguru wa Shamba.
Hawa kunguru wanaonekana Mlima Kilimanjaro mpaka kwenye urefu wa mita 4,800 juu ya usawa wa bahari, kwenye Kambi ya Barafu. sehemu ambayo ina baridi kali.

Viumbe wengine ambao wanaonekana mpaka urefu huo juu ya usawa wa bahari ni pamoja na panya wadogo.

Taarifa nyingine zinazohusiana na taarifa hii:
http://muhunda.blogspot.com/2012/03/kambi-ya-barafu-ya-mlima-kilimanjaro.html
http://muhunda.blogspot.com/2011/09/mimea-ya-mlima-kilimanjaro.html
http://muhunda.blogspot.com/2011/07/wagumu-wa-mlima-kilimanjaro.html

No comments: