Tembelea Butiama

Tembelea Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Karibu Butiama / Welcome to Butiama

Kurasa Muhimu

Thursday, September 30, 2010

Tuma taarifa za uchaguzi kwa njia ya mtandao na simu

Taarifa hizi nimepata toka kwa Steven Nyabero wa Vijana FM na inaelezwa kuwa ni njia ya kutumua taarifa mbalimbali ambazo zinahusiana na uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Kwa mujibu wa maelezo yake:

"Vijana FM inatumia Crowdmap, chombo kilichotengenezwa na Ushahidi, kukusanya taarifa, mawazo na uzoefu wakati wa Uchaguzi Mkuu Tanzania. Ni matarajio yetu kwamba chombo hiki kitawapa jukwaa watu kutoa taarifa, maoni, kuanzisha mijadala na kueneza ujuzi wa mchakato wa uchaguzi na matukio mbalimbali."
Anaendela:

Taarifa zinaweza kuwasilishwa kwa njia tatu:

  1. Kwa kutuma barua pepe: TZelect (at) gmail (dot) com
  2. Kwa Twitter hashtags #TZelect au #uchaguzitz (Shukrani Jamii Forums)
  3. Kwa kujaza fomu kwenye tovuti

No comments: